Saturday, September 28, 2013
Friday, September 27, 2013
Thursday, September 26, 2013
DJ Fetty: Huu ndio ujio mpya wa C-Pwaa
Ema9: Huu ndio ujio mpya wa C-Pwaa: Mashabiki wake hupendelea kumuita "King of BongoCrunk"....jina halisi ni Ilunga Khalifa a.k.a CPwaa! Msanii wa muziki wa k...
DJ Fetty: Audio: Full interview ya Producer alietengeneza "M...
DJ Fetty: Audio: Full interview ya Producer alietengeneza "M...: Leo hii nimetembelea katika studio ya mziki iliyoko Mwanza "One Love Effects" iliyoko maeneo ya Ilemela na kukutana na produ...
Video ya bila kukunja goti kuanza kuonyeshwa katika chaneli kubwa za muziki Afrika
Video mpya ya wakongwe wa muziki FA na AY -Bila kukunja goti. Inatarajiwa kutokasiku yeyote kuanzia kesho.Video iyo iliyo fanyika nchini South Africa chini ya kampuni
ya Godfather na kwa mujibu wa maelezo ya AY na FA wamesha kamilisha process ya kuzisambaza
katika vituo vikubwa vya televisioni kama mtv base,Chanel o,Trace pamoja na sound city na video
iyo imepitishwa tayari kwa kuchezwa baada ya kuonekana kufikia viwango vyate.
Wednesday, September 25, 2013
Tuesday, September 24, 2013
Udaku Specially: MSAADA:MKE WANGU MVIVU KUPINDUKIA KILA IDARA
Udaku Specially: MSAADA:MKE WANGU MVIVU KUPINDUKIA KILA IDARA: Habari, Mimi nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa na tuna watoto wa 2. Nlimuoa mwanamke aliyekuwa kamaliza degree ambaye alikuwa home t...
Udaku Specially: MMH! WANAWAKE WA DAR ES SALAAM NAWAVULIA KOFIA-SOM...
Udaku Specially: MMH! WANAWAKE WA DAR ES SALAAM NAWAVULIA KOFIA-SOM...: Juzi jumamosi nilikuwa na hang out na rafiki yangu fulani majira ya saa nne usiku. Mara rafiki yangu akapata text meseji kutoka kwa binti ...
Udaku Specially: HUU NI USHAHIDI KUWA AGNESS MASOGANGE YUKO HURU .....
Udaku Specially: HUU NI USHAHIDI KUWA AGNESS MASOGANGE YUKO HURU .....: Picha hizi Amezipiga akiwa Gym leo asubuhi zinazidi kutoa ushahidi kuwa yupo Mtaani ...au jela za South Mambo ndio hivi ? We unasema...
Udaku Specially: AGNESS MASOGANGE NA MDOGO WAKE WAACHIWA HURU KABIS...
Udaku Specially: AGNESS MASOGANGE NA MDOGO WAKE WAACHIWA HURU KABIS...: Tegemea picha zaidi za ‘asset’ ya Agnes Gerald aka Masogange kwenye Instagram sababu video vixen huyo ni mtu huru kabisa. Kwa mujibu ...
Udaku Specially: AL SHABAAB WASEMA "KENYA ILIPUUZA ONYO LETU"
Udaku Specially: AL SHABAAB WASEMA "KENYA ILIPUUZA ONYO LETU": Afisaa mmoja mkuu wa kundi la kigaidi la Alshabaab, amefahamisha BBC kuwa kundi hilo ndilo limehusika na shambulizi dhidi ya duka la ki...
Udaku Specially: BAADA YA MASOMO KUWACHOSHA WANAFUNZI WA SECONDARY ...
Udaku Specially: BAADA YA MASOMO KUWACHOSHA WANAFUNZI WA SECONDARY ...: The lamentations of parents of this generation is simply that students have lost focus in every sphere of life. One major obvious screen t...
Udaku Specially: EXCLUSIVE INTERVIEW:DAYNA AZUNGUMZIA SAKATA LA BEA...
Udaku Specially: EXCLUSIVE INTERVIEW:DAYNA AZUNGUMZIA SAKATA LA BEA...: Apparently wimbo mpya wa Diamond, Number 1 ambao video yake ilifanyika nchini Afrika Kusini na kuzinduliwa wiki iliyopita, umetumia beat y...
Subscribe to:
Comments (Atom)
MASHINE ZA UMWAGILIAJI
PATA MASHINE ZA UMWAGILIAJI KWA BEI NAFUU TUPO SOKO KUU LA KISUTU GOROFA YA TATU DUKA NO 44 CONTACT 0685476657

-
Yanga SC imetangaza rasmi kumfuta kazi kocha mkuu wa timu hiyo Mwinyi Zahera pamoja na benchi lake lote la ufundi hadi walinzi wa timu hi...
-
MSEMAJI wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids), Glory Mziray hivi karibuni alisema Mkoa wa Njombe, Mbeya na Iringa ni vinara wanaoo...