Thursday, September 26, 2013

Video ya bila kukunja goti kuanza kuonyeshwa katika chaneli kubwa za muziki Afrika

Video mpya ya wakongwe wa muziki FA na AY -Bila kukunja goti. Inatarajiwa kutoka 
siku yeyote kuanzia kesho.Video iyo iliyo fanyika nchini South Africa chini ya  kampuni
ya Godfather na kwa mujibu wa maelezo ya AY na FA wamesha kamilisha process ya kuzisambaza
katika vituo vikubwa vya televisioni kama mtv base,Chanel o,Trace pamoja na sound city na video
iyo imepitishwa tayari kwa kuchezwa baada ya kuonekana kufikia viwango vyate.

No comments:

Post a Comment

MASHINE ZA UMWAGILIAJI

 PATA MASHINE ZA UMWAGILIAJI KWA BEI NAFUU TUPO SOKO KUU LA KISUTU GOROFA YA TATU DUKA NO 44 CONTACT 0685476657