Utafiti uliofanyika hivi punde unaonyesha zaidi ya 90% ya WATANZANIA
wanalala stoo,
Haiwezekani chumba cha kulala kuna
ndoo za maji ya kuoga ,ndoo za maji ya kunywa, ,Sufuria za kupikia,
Jiko la kupikia, mkaa,Sofa,TV, Dressingtable, Sabufa, Friji, kabati, kitanda, Kopo la kuogea, Jiwe la kusugulia miguu,Ndala, Viatu, N.K. Mnasemaje wenzangu siyo stoo hiyo?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MASHINE ZA UMWAGILIAJI
PATA MASHINE ZA UMWAGILIAJI KWA BEI NAFUU TUPO SOKO KUU LA KISUTU GOROFA YA TATU DUKA NO 44 CONTACT 0685476657

-
Yanga SC imetangaza rasmi kumfuta kazi kocha mkuu wa timu hiyo Mwinyi Zahera pamoja na benchi lake lote la ufundi hadi walinzi wa timu hi...
-
MSEMAJI wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids), Glory Mziray hivi karibuni alisema Mkoa wa Njombe, Mbeya na Iringa ni vinara wanaoo...
No comments:
Post a Comment