Sunday, May 11, 2014

uTANDAWAZI BANA!

Kwenye mtandao wa twitter, mtangazaji wa Clouds FM Hamisi Mandi au wengi tukimfahamu kama B12 "B-Dozen" amemuuliza swali la kizushi Ommy dimpoz kuhusu viatu vyake alivyo vaa..

nahiki ndicho alichoandika... B12 nakuweka picha ya viatu hivyo..

"Hivi ndo Viatu Vya dimpoz, si kwa ubaya tunaomba ufafanuzi ni Vya kike au kiume?"

No comments:

Post a Comment

MASHINE ZA UMWAGILIAJI

 PATA MASHINE ZA UMWAGILIAJI KWA BEI NAFUU TUPO SOKO KUU LA KISUTU GOROFA YA TATU DUKA NO 44 CONTACT 0685476657