Tuesday, February 9, 2016

Ahadi ya mabilioni ya Rais Magufuli kwa Mahakama TZ imefanyiwa kazi

Feb 8 2016 Wizara ya Fedha na Mipango ilitoa Bilioni 12.3 kwa ajili shughuli za Mahakama ikiwa ni  utekelezwaji wa ahadi aliyoitoa Rais Magufuli siku ya kilele cha maadhimisho ya siku ya Mahakama  duniani, full stori na makabidhiano yalivyokuwa ndio hii kwenye hii video hapa chini.

No comments:

Post a Comment

MASHINE ZA UMWAGILIAJI

 PATA MASHINE ZA UMWAGILIAJI KWA BEI NAFUU TUPO SOKO KUU LA KISUTU GOROFA YA TATU DUKA NO 44 CONTACT 0685476657