Sunday, December 10, 2017
Man City imevunja rekodi ya Man United leo
Man City ya Pep Guardiola imefanikiwa kuvunja rekodi ya Man Unired ya Mourinho baada ya kuifunga kwa magoli 2-1, magoli ya Man City yakifungwa na David Silva dakika ya 43 na Otamendi dakika ya 54 wakati goli pekee la Man United likifungwa na Marcus Rashford dakika za nyongeza kipindi cha kwanza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MASHINE ZA UMWAGILIAJI
PATA MASHINE ZA UMWAGILIAJI KWA BEI NAFUU TUPO SOKO KUU LA KISUTU GOROFA YA TATU DUKA NO 44 CONTACT 0685476657

-
Yanga SC imetangaza rasmi kumfuta kazi kocha mkuu wa timu hiyo Mwinyi Zahera pamoja na benchi lake lote la ufundi hadi walinzi wa timu hi...
-
MSEMAJI wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids), Glory Mziray hivi karibuni alisema Mkoa wa Njombe, Mbeya na Iringa ni vinara wanaoo...
No comments:
Post a Comment