Siku zote huwa nafurahishwa sana pale ninapoona watu wangu kutoka Tanzania
wanazidi kufanya vizuri kimuziki, sio siri wasanii wetu wanafanya sana
kazi na kwa bidii, kazi ambazo zinapata mapokezi mazuri kwenye countdown
mbalimbali za radio Africa
Good news kwako mdau wangu wa nguvu, nimepita kwenye mtandao wa Twitter na nimekutana na post ya @The Beat 99.9 FM ya Lagos Nigeria na kwenye #AfricanTop10 countdown yao wimbo kutoka Tanzania ‘Game’ wa watu wetu Navy Kenzo waliomshirikisha Vanessa Mdee umeshika nafasi ya #1 wiki hii
Friday, August 21, 2015
Collabo ya Diamond Platnumz na Ne-yo yafanyika…
Macho na masikio ya mashabiki wa Diamond ilikuwa ni kuona Diamond
Platnumz nae anafanya Collabo na Ne-yo…Jambo hilo limekamilika jana na
tayari Diamond Platnumz wameandaa ngoma ambayo inasemekana itakuwa hit
song
Kupitia Mtandao wa Instagram Diamond ameandika “Thanks alot my Brother @neyo and the Whole Compound Crew had a great Session, and it was realy nice working with you…can’t wait for the World to hear this Hit Song!! @Diamondplatnumz ft @neyo ….. Cc @sheddyclever @Compoundu @thecorpshow @Jullianl #AfricaTotheWorld
Kupitia Mtandao wa Instagram Diamond ameandika “Thanks alot my Brother @neyo and the Whole Compound Crew had a great Session, and it was realy nice working with you…can’t wait for the World to hear this Hit Song!! @Diamondplatnumz ft @neyo ….. Cc @sheddyclever @Compoundu @thecorpshow @Jullianl #AfricaTotheWorld
Subscribe to:
Comments (Atom)
MASHINE ZA UMWAGILIAJI
PATA MASHINE ZA UMWAGILIAJI KWA BEI NAFUU TUPO SOKO KUU LA KISUTU GOROFA YA TATU DUKA NO 44 CONTACT 0685476657

-
Yanga SC imetangaza rasmi kumfuta kazi kocha mkuu wa timu hiyo Mwinyi Zahera pamoja na benchi lake lote la ufundi hadi walinzi wa timu hi...
-
MSEMAJI wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids), Glory Mziray hivi karibuni alisema Mkoa wa Njombe, Mbeya na Iringa ni vinara wanaoo...