Macho na masikio ya mashabiki wa Diamond ilikuwa ni kuona Diamond
Platnumz nae anafanya Collabo na Ne-yo…Jambo hilo limekamilika jana na
tayari Diamond Platnumz wameandaa ngoma ambayo inasemekana itakuwa hit
song
Kupitia Mtandao wa Instagram Diamond ameandika “Thanks alot my
Brother @neyo and the Whole Compound Crew had a great Session, and it
was realy nice working with you…can’t wait for the World to hear this
Hit Song!! @Diamondplatnumz ft @neyo ….. Cc @sheddyclever @Compoundu
@thecorpshow @Jullianl #AfricaTotheWorld
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MASHINE ZA UMWAGILIAJI
PATA MASHINE ZA UMWAGILIAJI KWA BEI NAFUU TUPO SOKO KUU LA KISUTU GOROFA YA TATU DUKA NO 44 CONTACT 0685476657

-
Yanga SC imetangaza rasmi kumfuta kazi kocha mkuu wa timu hiyo Mwinyi Zahera pamoja na benchi lake lote la ufundi hadi walinzi wa timu hi...
-
MSEMAJI wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids), Glory Mziray hivi karibuni alisema Mkoa wa Njombe, Mbeya na Iringa ni vinara wanaoo...
No comments:
Post a Comment